More

    NAFASI YA KAZI MTENDAJI WA KIJIJI III – 1 POST

    Nafasi za kazi na Ajira mpya

    JOB SUMMARY

    (i)Mtendaji Mkuu wa Serikali ya kijiji

    (ii)Katibu wa Kamati ya kijiji

    (iii)Mratibu wa utekelezaji wa Sera na Sheria zinazotekelezwa na Halmashauri  katika Kijiji

    (iv)Mshauri wa Kamati ya Kijiji kuhusu Mipango ya Maendeleo katika Kijiji.

    (v)Msimamizi wa Utekelezaji wa Sheria ndogo pamoja na Sheria nyingine zinazotumika katika Kijiji

    (vi)Mshauri wa Kamati ya Kijiji kuhusu masuala  ya Ulinzi na Usalama.

    (vii)Msimamizi wa Mtekelezaji wa mikakati mbalimbali inayohusu uondoaji wa njaa na Umasikini katika Kijiji.

    (viii)Kusimamia Ukusanyaji wa mapato ya Halmashauri na kutunza kumbukumbu za walipa kodi.

    (ix)Atawajibika kwa Mtendaji wa Kata.

    QUALIFICATION AND EXPERIENCE

    Kuajiriwa mwenye Elimu ya kidato cha Nne(IV) au Sita (VI) aliyehitimu mafunzo ya Astashahada/Cheti katika moja ya fani zifuatazo: Utawala,Sheria, Elimu ya Jamii, Usimamizi wa Fedha, Maendeleo ya Jamii na Sayansi ya Sanaa kutoka Chuo Cha Serikali za Mitaa Hombolo, Dodoma au Chuo chochote kinachotambuliwa na Serikali.

    REMUNERATION: TGS B

    TO APPLY CLICK HERE

    Get Notified

    Get Notified about latest articles published on Ajirakazi.co.tz

    About this Article

    Published date

    Category

    Tags

    Similar Articles

    Discover a wide range of job listings across various sectors below

    100 SME’s Sales Agents at NAD Insurance Agency

    Full timeSales and Markerting
    Read more

    Senior Accountnt at Miracle Experience

    Full timeAccountantAccounting and FinancemanagementManager

    Junior Accountant at Miracle Experience

    Full timeAccountantAccounting and Finance

    InternAGRICULTURAL

    Full timeMonitoring and Evaluation

    Data Analyst at Sightsavers

    Full timeData OfficerData Scientist