More

    MSAIDIZI WA KUMBUKUMBU DARAJA II – 1 POST

    Nafasi za kazi na Ajira mpya

    POST MSAIDIZI WA KUMBUKUMBU DARAJA II – 1 POST
    EMPLOYER Halmashauri ya Wilaya ya Songwe
    APPLICATION TIMELINE: 2024-03-21 2024-04-03
    JOB SUMMARY N/A
    DUTIES AND RESPONSIBILITIES
    1. Kuorodhesha barua zinazoingia Masjala kwenye regista (incoming correspondence register)
    2. Kuorodhesha barua zinazotoka nje ya taasisi (outgoing correspondence register)
    3. Kusambaza majalada kwa Watendaji (action officers)
    4. Kupokea majalada  kwa Watendaji (action officers)
    5. Kupokea majalada yanayorudi masjala toka kwa Watendaji
    6. Kurudisha majalada kwenye shabaka/kabati la majalada(racks/filling cabinets) au mahali pengine yanapohifadhiwa
    7. Kufuatilia mzunguko wa majalada ndani ya Taasisi (file tracking)
    QUALIFICATION AND EXPERIENCE Kuajiriwa mwenye amehitimu Elimu ya Kidato cha Nne (IV) au Kidato cha Sita (VI) aliyehitimu Stashahada (NTA level 6) katika fani ya Masjala kutoka Vyuo vinavyotambuliwa na Serikali, mwenye ujuzi wa Kompyuta.
    REMUNERATION TGS C

    APPLY HERE

    Get Notified

    Get Notified about latest articles published on Ajirakazi.co.tz

    About this Article

    Published date

    Category

    Tags

    Similar Articles

    Discover a wide range of job listings across various sectors below

    100 SME’s Sales Agents at NAD Insurance Agency

    Full timeSales and Markerting
    Read more

    Senior Accountnt at Miracle Experience

    Full timeAccountantAccounting and FinancemanagementManager

    Junior Accountant at Miracle Experience

    Full timeAccountantAccounting and Finance

    InternAGRICULTURAL

    Full timeMonitoring and Evaluation

    Data Analyst at Sightsavers

    Full timeData OfficerData Scientist