| POST | MTENDAJI WA KIJIJI III – 8 POST |
| EMPLOYER | Halmashauri ya Wilaya ya Kigoma |
| APPLICATION TIMELINE: | 2024-09-28 2024-10-11 |
| JOB SUMMARY | NIL |
| DUTIES AND RESPONSIBILITIES |
|
| QUALIFICATION AND EXPERIENCE |
Kuajiriwa mwenye Elimu ya kidato cha Nne(IV) au Sita (VI) aliyehitimu mafunzo ya Astashahada/Cheti katika moja ya fani zifuatazo: Utawala,Sheria, Elimu ya Jamii, Usimamizi wa Fedha, Maendeleo ya Jamii na Sayansi ya Sanaa kutoka Chuo Cha Serikali za Mitaa Hombolo, Dodoma au Chuo chochote kinachotambuliwa na Serikali. |
| REMUNERATION | TGS B |
DWONLOAD THE JOB ANNOUNCEMENT FOR MORE DETAILS ABOUT THE JOB













