More

    DEREVA DARAJA II – 1 POST

    Nafasi za kazi na Ajira mpya

    DUTIES AND RESPONSIBILITIES

    1. Kukagua gari kabla na baada ya safari ili kubaini hali ya usalama wa gari;
    2. Kuwapeleka watumishi maeneo mbalimbali kwenye safari za kikazi;
    3. Kufanya matengenezo madogo madogo ya gari;
    4. Kukusanya na kusambaza nyaraka mbalimbali;
    5. Kujaza na kutunza taarifa za safari zote katika daftari la safari;
    6. Kufanya usafi wa gari; na
    7. Kufanya kazi nyingine kadri atakavyoelekezwa na Msimamizi wake.

    QUALIFICATION AND EXPERIENCE

    Mwombaji awe na Cheti cha Kidato cha Nne (Form IV) na Leseni ya Daraja E au C ya uendeshaji magari ambayo amefanyia kazi kwa muda usiopungua mwaka mmoja bila kusababisha ajali. Awe amehudhuria mafunzo ya msingi ya Ufundi Stadi (VETA) au Chuo kingine kinachotambuliwa na Serikali.

    REMUNERATION: TGS B

    APPLY HERE

    Get Notified

    Get Notified about latest articles published on Ajirakazi.co.tz

    About this Article

    Published date

    Category

    Tags

    Similar Articles

    Discover a wide range of job listings across various sectors below

    100 SME’s Sales Agents at NAD Insurance Agency

    Full timeSales and Markerting
    Read more

    Senior Accountnt at Miracle Experience

    Full timeAccountantAccounting and FinancemanagementManager

    Junior Accountant at Miracle Experience

    Full timeAccountantAccounting and Finance

    InternAGRICULTURAL

    Full timeMonitoring and Evaluation

    Data Analyst at Sightsavers

    Full timeData OfficerData Scientist