More

    DAKTARI MSAIDIZI DARAJA II – 5 POST

    Nafasi za kazi na Ajira mpya

    POSTDAKTARI MSAIDIZI DARAJA II – 5 POST
    EMPLOYERWizara ya Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa
    APPLICATION TIMELINE:2024-04-03 2024-04-16
    JOB SUMMARYNA
    DUTIES AND RESPONSIBILITIESi.         Kutambua matatizo ya wagonjwa na kutoa huduma za tiba, kinga na huduma kwa kina mama na watoto; ii.       Kufanya upasuaji wa dharura na wa kawaida; iii.     Kupanga, kutekeleza na kutathimini huduma za afya sehemu zao za kazi; iv.     Kupanga utekelezaji wa mipango ya kukabili majanga na dharura mbalimbali; v.      Kufanya utafiti katika maeneo mbalimbali ya afya ili kuboresha utoaji huduma; na vi.     Kufanya kazi nyingine kadiri atakavyoelekezwa na Msimamizi wa kazi.
    QUALIFICATION AND EXPERIENCEKuajiriwa wenye Stashahada ya juu (Advance Diploma) ya Tiba kutoka chuo kinachotambuliwa na Serikali walio na leseni ya kufanya kazi kutoka Baraza la Madaktari Tanganyika pamoja na uzoefu wa kazi kwa muda usiopungua miaka mitatu.
    REMUNERATIONTGHS

    Get Notified

    Get Notified about latest articles published on Ajirakazi.co.tz

    About this Article

    Published date

    Category

    Tags

    Similar Articles

    Discover a wide range of job listings across various sectors below

    100 SME’s Sales Agents at NAD Insurance Agency

    Full timeSales and Markerting
    Read more

    Senior Accountnt at Miracle Experience

    Full timeAccountantAccounting and FinancemanagementManager

    Junior Accountant at Miracle Experience

    Full timeAccountantAccounting and Finance

    InternAGRICULTURAL

    Full timeMonitoring and Evaluation

    Data Analyst at Sightsavers

    Full timeData OfficerData Scientist